Posts

Showing posts from November, 2018

Top Tanzania Hot Ladies

Image
1.nancy   2.Belina Mgeni 3.jacline cliff patrick 4.Richa Adhia

Hawa Ndio Wasanii Wataalam wa Picha za Utupu Bongo

Image
NCHI za wenzetu staa kupiga picha za utupu si kitu kigeni lakini Kibongobongo sheria na maadili ya Mtanzania hayaruhusu kufanya hivyo. Licha ya kubanwa na sheria pamoja na maadili, wapo wasanii ambao kwa nyakati tofauti walijikuta katika adha ya kupigwa kama si kujipiga picha za utupu kisha zikazagaa mitaani. Wapo waliotajwa kupiga picha hizo kwa kusaka umaarufu, waliopigwa na wapenzi wao kisha wakazivujisha lakini wengine imedaiwa kuwa wamezivujisha wenyewe na kusingizia zimevujishwa na wapenzi wao. Ifuatayo ni orodha ya wasanii mbalimbali Bongo ambao waliwahi kukwaa skendo ya picha za utupu: Wema Sepetu: Mwaka 2010 picha yake ya utupu ilizagaa mtandaoni huku ikidaiwa kuwa chanzo cha kusambaa kwake ni boifrendi wake ambaye alimpiga na kuzisambaza. Kama hiyo haitoshi, mwaka huu mrembo huyo alidaiwa kuposti picha zake nyingine za utupu katika mtandao wa Instagram. Diana Hussein: Huyu  ni Miss Dar Indian Ocean ambaye pia ni Miss Kinondoni namba 2 mwaka jana, mrembo huyo hivi karibuni ame...

PENZI TAMU[VI]

“Mama Grace, tangu nikuone wewe kule Karatu sijaona mwanamke mwingine” Alisema kwa sauti ya kumhakikishia. “sijatamani wala sijaota kutamani mwanamke mwingine. Wote ninaowaona nikiwalinganisha na wewe, nitaendelea kukuchagua wewe hadi kaburini” Alisema huku macho yake yakilengwa na machozi. Suma alijikuta anatokwa na machozi tena, ingawa safari hii yalikuwa ni ya huba na furaha. Alimuuliza Mungu ilikuwaje astahili mwanamme namna hiyo. Suma aliinuka kitandani, na kabla hajasimama vizuri kanga yake iliyokuwa bado imemning’inia mwilini ilidondoka, na kumwacha mtupu kama alivyozaliwa. Mwili wake wenye rangi ya maji ya kunde uliangaza kama mbalamwezi. Sosi alimuangalia mara moja na hamu yake ikamzidia. Alimvuta karibu huku yeye akiwa bado ameketi, alifungua miguu yake na kumsimamisha Suma katikati yake huku mikono yake ikiwa imezunguka makalio ya mviringo wa tufe. Alianza kumbusu tumboni , mapajani, huku vidole vyake vikiendelea kuyaminya minya makalio ya binti huo. Suma alinyanyua mguu wak...

PENZI TAMU[V]

“Wewehh…!”ndicho pekee alichoweza kusema. Akiendelea kurushiana mabusu na mpenzi wake huyo mpya, Suma aliianza kufungua suruali ya kodirai ya rangi ya maziwa aliyokuwa amevaa Sosi, mikono yake iliyobaridi ilijitumbukiza kama kwenye pango la nyoka na kumchomoa nyoka pangoni! Alikuwa ametuna na kuvimba kama chatu aliyekuwa tayari kummeza mtu. Sospeter alijikuta nusura aanguke kwani ubaridi wa mkono wa Suma ulikuwa kama hamira kwenye uanamuwe wake. Mzee alikuwa amefura na kupwita pwita kama chura aliyetoka majini! “Suma, nakupenda” Alijikuta akisema bila hata kujua kweli alimaanisha au alikuwa amezidiwa na mfadhaiko. Suma akitumia kidole chake cha pili alimfunga mdomo na kumwambia “shhhhhh”. Sospeter alijikuta amekuwa na ububu wa ghafla. Kabla hajajua kilichoendelea, Suma allichuchumaa mbele yake, huku akizurusha nywele zake nyuma, kama mtumbuiza nyoka, alilichukua joka hilo, na kuliingiza mdomoni mwake. Kwa ufundi uliokubuhu, alianza kulipa burudani ya mwaka. Suma alifanya ufun...

PENZI TAMU[IV]

“Ungependa kula na mimi na tupige soga zaidi” Aliuliza Sosi kabla Suma hajakimbia. “ah..wenzangu wataningoja” alijibu Suma “Hapana, tunaweza kwenda kijijini na kununua cha hotelini, mie leo sili dona lao” alijibu Sospeter huku moyoni akiombea kwa miungu yake Suma akubali. “We, tutawezaje kutoka kambini si ni kujitakia matatizo? Huoni geti kali?”Aliuliza kabla hajakubali baada ya ushawishi wa Sosi. Sospeter alimhakikishia kuwa hawatagundulika na wakakubaliana wakutane saa moja baadaye kwenye lango kuu la shule. Sospeter alianza kutafuta njia ya kuweza kutoka na kurudi jioni hiyo bila kujiletea matatizo yeye mwenyewe na Suma. Baada ya kuhangaika kufikiri nini cha kufanya aliamua kwenda kwa mzee mmoja wa Kimang’ati aliyekuwa zamu kulinda lango la shule hiyo. Wala hakumchelewesha alimpatia shilingi mia tano na kumuomba chonde chonde amruhusu yeye na Suma waweza kwenda na kurudi kabla ya muda wa kulala ambao ilikuwa ni saa nne kamili za usiku. Mzee wa Kimang’ati kumbe hizo zilikuwa zake. Al...

PENZI TAMU[III]

Dongobesh walikuwa wanacheza mechi ya mwisho dhidi ya timu ya Madunga ambayo ilikuwa ni mpinzani wa jadi. Sospeter kwa kuitikia mwito wa rafiki zake waliokuwa wanamsifia Suma aliamua kwenda kuangalia mechi hiyo, siyo kwa ajili ya kuona nani atashinda bali kuona kama kweli hizo sifa za Suma zilikuwa ni za kweli au ni porojo tu za kwenye Umiseta. Alipofika na kumuona jinsi binti huyo alivyokuwa anapendeza katika mavazi yake ya netiboli ambayo yalimfanya aonekana kama amepotea toka Mbinguni na wanamtafuta, Sosi alijikuta akimkodolea macho dada wa watu utadhani ameona hazina ya mfalme Solomoni. Sosi hakutaka kuangalia kitu kingine chochote na alijikuta anaungana na wadau wengine kushangilia kila Suma alipokuwa akitoa pasi na kudaka mpira. Mara mbili alijikuta anagonganisha macho yake na Suma ambaye na yeye alianza kumwangalia na kila akidaka mpira basi anaweka madoido kidogo kumlingishia Sosi (kama ilikuwa kweli au hayo ni mawazo ya Sosi tu miye sijui). Mechi iliisha kwa timu ya Dongobesh ...

PENZI TAMU[II]

Ilikuwa mwaka 1992 kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo ya Sekondari Tanzania ngazi ya Mkoa ambayo kwa mara ya kwanza yalikuwa yanafanyika kwenye shule ya Sekondari ya Karatu iliyopo pembezoni mwa barabara iendayo mbuga maarufu ya Serengeti nje kidogo tu ya mji wa Karatu. Wakati huo mji wa Karatu ulikuwa bado ni Wilaya ndogo katika mkoa wa Arusha. Shule karibu ishirini za Sekondari kutoka kila kona za mkoa wa Arusha zilikuwa zinawakilishwa kwenye mashindano hayo ambayo hatimaye yangeteua timu ya mkoa ambayo ingewakilisha mkoa wa Arusha katika mashindano ya UMISETA yaliyokuwa yanafanyika baadaye mwaka huo huko Morogoro. Sospeter alikuwa ni golikipa namba moja wa timu ya Soka toka shule ya sekondari ya Singe iliyoko Babati. Sifa zake zilienea kwenye mashindano hayo kwani aliokoa penati tano katika mechi mbalimbali ambazo ziliifanya timu yake kushiriki katika mashindano hayo. Hata hivyo sifa hizo hazikumfanya awe anajipendekeza au kujiona yeye bora zaidi. Nje ya uwanja alikuwa ni kijana ...

PENZI TAMU[I]

Tukusuma Mpoki alikuwa amesimama kwenye baraza la nyumba yake, uso wake ukiwa umekunja ndita, jasho likimtiririka, na macho yake yakiwa yanabubujikwa na machozi. Alikuwa amejifunga kanga moja tu kati ya eneo la kifuani na kiunoni na hivyo kuonesha mapaja yake yaliyonawiri vizuri na hivyo kulidhirisha kwa kadamnasi umbo lake lake la nyigu. Chini ya kanga hiyo alikuwa amevaa chupi ya rangi nyekundu. Licha ya upepo wenye joto la jiji hilo la bandari salama kumpulizikia bila kukoma Suma aliendelea kusimama kwenye baraza la nyumba hiyo. Hakujali watu waliokuwa wamesimama upenuni wakimshangaa binti huyo wa Kinyakyusa akiwa katika hali ya hasira na aliyekuwa akipaza sauti yake akimtukana mumewe bila kufunga breki. Mkono wake wa kushoto uliokuwa umevikwa bangiri za rangi ya dhahabu ulikuwa umekunjwa kwenye kiwiko na kuegeshwa kama gari la kijapani kwenye kiuno cha binti huyo kilichokuwa kimehifadhi vyema mviringo wa makalio yake uliokuwa kama vitunguu maji vinavyolimwa kule Tukuyu. Mkono wake ...

WAREMBO WAKALI KENYA (Top Ten Sexiest Female Celebrities in Kenya )

Image
Top Ten Sexiest Female Celebrities in Kenya – Brenda Wairimu Brenda Wairimu went to USIU where she pursed a major in International Business Administration and a minor in Broadcast Media. This gifted model is the face of Alcott Kenya a campaign that includes a host of other young Kenyan celebrities. Brenda has acted in Changing Times, one of Kenya’s leading youth entertainment drama shows which has received a Kalasha Award. She has also received a nomination for best supporting actress at this year’s Kalasha Awards. Her young illustrious career is on a high with her new principle role as Lulu in East Africa’s first soap opera (name yet to be revealed). She is to join Juliani, a popular Kenyan gospel artiste in a project dubbed ‘kenyanikwetu’, an initiative aimed at helping youth in the slums. In the near future she hopes to double her volunteer work, and use her position in the media to make a positive difference in people’s lives. Brenda Wairimu Top Ten Sexiest Female Celebrities in Ke...

MAMA VANESSA MWISHO SEHEMU YA 20

Yule daktari kwa kuwa alikuwa akimjua aliamua kulivaa swala hilo na kumsaidia. Alimweleza kuwa hasiwe na hofu yeye ataandika ripoti itakayo msaidia lakini pia kwa sasa wasiseme kua amefariki ili kama kuna mali anaweza kuamisha afanye hivyo maana akisubiri mgao wa halali ndugu wanaweza kumdhulumu. Kidogo mama Vanesa akawa amepata nafuu na kuona kumbe anaweza kukwepa mkono wa sheria. Daktara alimwambia habari za kifo zitatangazwa kesho. Mama Vanesaa aliondoka na kuelekea nyumbani. Yaani akili yake ilikuwa imechanganyikiwa kwa kiwango kikumbwa. Alifika akafungua kabati ambalo huwa linawekwa pesa. Baba Vanesaa ni miongoni mwa watu ambao huwa wanahifadhi kiwango kikumbwa cha fedha tena dola za Kimarekani. Ilikuwa ni fursa nzuri kwake maana alizijaza kwenye begi kasha kwa haraka alitoka nje. Alifanya kwa haraka na kuziweka kwenye gari lake binafsi. Lengo ni walinzi wasijue kama ameondoka na mizigo hakuhitaji dereva aliwasha gari na kuondoka. Aliwaza pa kuzipeleka hizo fedha akaona njia pekee...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 19

“Upweke ni ugonjwa mbaya sana huku duniani na upweke unaweza kukufanya ukawaza mambo mengi yaliyopita na kujikuta mwenye huzuni. Nimegundua utakuwa mpweke sana usiku huu na nimeona walau nije nikufute machozi yako” “Kwa sasa sina machozi maana nilishaliia mpaka yakakauka.Umejauje kama nakaa hapa?” alihoji Lucas kwa upole “Naomba tuzunguzie ndani maana leo mimi ni kama malaika ambaye nimetumwa kukuleta faraja”. Alijubu Juliana. Haikujulikana Julaina alikuwa ametoka wapi na amejuaje kama mwanaume huyo alikuwa akikaa hapo. Julaina alikuwa na yake moyoni ambayo Lucas hakuyafahamu. Lucas alikubaliana na binti huyo wakaingia ndani. “Kwa sasa najua kila kinachoendelea kweye maisha yako. Najua unatoka na mke wa boss wako lakini hata hivyo kisasi sio jambo zuri..Jambo zuri ni faraja na kuweza kusahau yote yaliyotokea. Nimekuja kukupa faraja kwa maana mke wa boss ni faraja iliyombali”. Juliana aliongea huku akimsogelea karibu. Lucas alitamani kumsukuma lakini roho ilisita.Uturi mzuri aliojipuliz...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 18.

Maisha ni safari mbwembwe za Mishel ziliishia njiani mara baada ya waliokuwa wakimpa kiburi kuanza kumyanyasa. Walimchoka baada ya kupata walichopata. Mishel alichoka akachakaa hiyo ni mara baada ya kuugua kwa muda mrefu na haikujulikana alikuwa akiumwa nini lakini afya yake ilikuwa imedhoofu mno. Uzuri wake ulifubaa na alififia machoni kwa wanaumme wakwere. Fimbo ya shida za maisha ilimpiga maana hata dada yake aliyekuwa akimpa hifadhi alifariki dunia. Mishel ilimlazimu kurudi kijijini ambapo alikuwa hana mbele wala nyuma. Huko ndipo Lucas alipopata kumuona tena.Alimuonea sana huruma maana binti huyo alianza kuzeeka ingali alikuwa bado mdogo. Mishel alimuomba msamaha Lucas na kumtaka amsamehe tu kwa yote aliyomtendea hata kama hawatakuwa tena wapenzi. Lucas kama ilivyo imani ya dini yake aliamua kumsamehe binti huyo lakini alisema kuwa kwa sasa watakuwa kama kaka na dada. Lucas akamshauri binti huyo arudie mtihani wa kidato cha nne na akafanikiwa kwenda form five basi yeye atamsomesha...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 17

Aliiangalia ile simu kwa hasira sana na aliinyanyua ili aweze kuipokea. Kwa bahati mbaya nguvu ziilimwishia na kuhisi kabisa anaweza kupewa habari mbaya ambazo zitamchanganya kabisa siku hiyo. Lucas aliona kabisa hasira na kinyongo alichokuwa nacho juu ya Mishel. Kuna sms iliingia. “Najua ukiona simu yangu unaumia sana lakini jua maisha ni mau kuna kipindi huwa yananyauka na kuna kipindi huwa yanachanua.Nimekukumbuka mume wangu.” “Huyu mwanamke sijui ni jinni?” Lucas aliwaza.Alitupa simu pembeni na kushika kichwa. Aliwaza sana ni nini kinachomsibu huyo mwanamke. Alianza kurudisha kumbukumbu kipindi cha nyuma. Taswira ya picha za kumbukumbu za wakati uliopita juu ya mwanamke huyo zilimjia. Alikumbuka siku ya kwanza kabisa kukutana na mwanamke huyo. Ilikuwa ni zaidi ya miaka saba imepita. Kipindi hicho huyo binti alikuwa mdogo sana kwanza ndo alikuwa form three. Mvua ilikuwa inaonyesha na yeye aliamua kujikinga na mvua hiyo kwa kuingia kwenye moja ya kibaraza cha duka. Ingawa alikuwa na ...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 16.

Walishangaa sana maana hawakutarajia kumkuta binti huyo kwenye hiyo nyumba. Kwanza Kimaro alikuwa akijua kuwa binti huyo alikuwa akikaa na pacha wake. Walianza kusalimiana huku kila mmoja akionesha ni jinsi gani ameshtushwa. Wakati wakiendelea kusalimia kuna mwanaume aliingia ghafla. “Vipi mke wangu, naona umepata ugeni?” “Ndio mme wangu naona wakejuka na dalali ingawa huyu mmoja ni shemeji yangu mchumba wake na Julieth” “Aisee karibuni sana vyumba hapa vipo kwenye hali nzuri” “Sawa tunaomba tuvione”. Juliana aliacha kufua na kuingia ndani kuchukua funguo. Alitoka na kuwakabidhi. Kutokana na mazunguzo hayo ni dhairi kuwa huyo ndio alikuwa mchumba wa Juliana. Kila mtu alikuwa na maswali mengi kichwani lakini waliachana nayo na kuangalia chumba. Chumba kilikuwa kizuri sana na hata Lucas alikipenda lakini swali je ataweza kuishi karibu na Juliana hili hali binti huyo walishawahi kushiriki tendo la ndoa. Walipelekwa sehemu mbali mbali lakini bado nyumba hizi hazikuwa kwenye hali nzuri kama...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 15..

Alirudi kinyumenyume na kuamua kuondoka zake. Mishale ya hatari ilipiga kichwani mwake na kuhisi kama wataonana huko inaweza kuleta shida. Alihisi kuwa ataulizwa maswali ambayo kwa kweli atashindwa kuyajibu na kufanya mambo kuzidi kuwa magumu. Alirudi kisha kupanda gari na kuanza safari ya kwenda Musoma. Baada ya kupanda gari aliamua kuwasha simu ili kuona sms zilizoingia na jinsi ya kujipanga kama atakuta za mme wake. Akiwa njiani kuna sms iliingia kupitia namba ngeni. “Najua hunijui lakini mimi nakujua. Kama mwanamke mwenzangu hili linaniuma sana maana si kwa umalaya huu. Ni hivi mumeo yupo Bunda na anauhusiano wakimapenzi na binamu yako Lisa yule ambaye anasimamia biashara zenu huku Bunda. Ingia WhatasApp nimekutumia ushaihidi wa picha usije sema nataka kuivunja ndoa yako.” Ilikuwa ni sms iliyotumwa na mtu ambaye hakujitambulisha ni nani. Mama Vannesa alirudia kuisoma ile sms zaidi ya mara tatu kisha akawasha data ili kuona hizo picha. Ni kweli mme wake alikuwa yupo na ndugu yake hu...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 14.

Hakuna ambaye aliyeweza hata kuongea. Wote walikuwa kimya wakisikilizia utamu utamu walichokifanya. Walikuwa wamechoka sana na kufanya wote wapumzike. Walivuta shuka na kujipumzisha. Kila mtu alikuwa mwenye furaha kwa raha walizopatiana. Kausingizi kazito kalizidi kuwanyemelea na baada ya muda mfupi walipotelea ndotoni. Ilikuwa ni furaha sana kwa Lucas kupunguza machungu na kuanza kulipa kisasi kwa kulala na mke wa boss. Pia ilikuwa ni furaha sana kwa Mama Vanesa maana alipata raha ambayo alikuwa hajaipata kwa muda mrefu sana. Alitamani sana kama mwanaume wake angekuwa akimpa hayo mapigo. Lilikuwa ni swala la furaha kwa wote na walilala usingizi kama mke na mme. Asubuhi ilifika na waliamua kumalizia tena rundi ya asubuhi. Cha asubuhi kilikuwa kitamu sana na baada ya hapo walingia kuoga na kwenda kupata kifungua kinywa. Walikunywa supu na baada ya hapo walianza kupanga mikakati yao ya kufanya. “Lucas asante sana jana umenipa penzi tamu ambalo sijalipata tangu niingie kwenye ndoa. Wewee ...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 13.

Mwili wa Lucas ulisismka na kutamani kumrukia mwanamke huyo. Alikuwa sasa na uhakika kuwa anaweza kuonewa huruma na pengine kutimiza lengo lake ambalo kiukweli halikuwa kupata penzi la mke wa boss. Lengo kubwa hapo ilikuwa ni kupata picha ambazo zitamwezesha kumrusha boss roho. Mama Vanesa alijisogeza hadi kwenye mkoba wake akafungu na kutoa khanga Alijifunga kisha kupunguza baadhi ya nguo. Kulikwa na kibaridi kidogo lakini kwa kuwa alikuwa na uhakaki maji ya moto kwenye hotel hiyo ya kifahari sio tatizo basi aliingia bafuni kuoga. Lucas alijifikiria cha kufanya haraka haraka akapata wazo kuwa na yeye aingie bafuni. Bila aibu aliingia bafuni na kumkuta mwanamke huyo akiwa uchi wa mnyama huku tayari akiwa amejipaka sabuni sehemu za mwili wake. Mama Vanesa alishtuka kidogo kumuona na aibu ilimpanda. “Noamba nikusugue”Lucas alisema. “Unisugue nini huku bafuni bwana”Mama Vanessa aliongea kwa sauti ya kudeka. “Nikusugue mgongo” “Toka lini mgongo ukasuguliwa wewe sema unataka kunisugua nanii...

MAMA VANESSA SEHEMU YA 12.

“Habari zenu” Mama Vanessa alitoa salamu ya jumla. “Nzuri” Kimaro na kimwana aliyekuja naye walijibu kwa pamoja.Kimya kikatawala kidogo kabla ya Lucas kuvunja ukimya. “Mama Vanessa huyu anaitwa Kimaro ni rafiki wangu wa kufa na kuzikana. Mr Kimaro huyu ndio mama Vanessa mwanamke aliyeamua kuniokota mara baada ya Mishel kunitupa. “Nashukuru sana bwana Lucas nashukuru pia kumfahamu mama Vannesa..Kimaro aliongea huku akimpa mkono mama Vanessa. Alifanya utani wake kidogo kwa kuubinya mkono kwa nguvu jambo lilofanya mama Vanesa ahisi maumivu. “Aiseee kweli unastahili hili kuitwa mrembo mikono laini kama maini” Kimaro aliongea huku akionesha kushangaa. Wote kwa pamoja walicheka na kufanya kuchangamka. Muhudumu alikuja tena na kumleta kinywaji mama Vanesa. Safari hii alibadilisha na kuanza kunywa wine. Stori mbili tatu za kuchekesha ziliendelea na kufanya muda kuzidi kuyoyoma. Kimaro alitumia muda huo vizuri kuwafurahisha na kuwachekesha kwa sababu moja ya vitu alivyojaliwa ni kuwafurahisha w...