PENZI TAMU[V]

“Wewehh…!”ndicho pekee alichoweza kusema. Akiendelea kurushiana mabusu na mpenzi wake huyo mpya, Suma aliianza kufungua suruali ya kodirai ya rangi ya maziwa aliyokuwa amevaa Sosi, mikono yake iliyobaridi ilijitumbukiza kama kwenye pango la nyoka na kumchomoa nyoka pangoni! Alikuwa ametuna na kuvimba kama chatu aliyekuwa tayari kummeza mtu. Sospeter alijikuta nusura aanguke kwani ubaridi wa mkono wa Suma ulikuwa kama hamira kwenye uanamuwe wake. Mzee alikuwa amefura na kupwita pwita kama chura aliyetoka majini!

“Suma, nakupenda” Alijikuta akisema bila hata kujua kweli alimaanisha au alikuwa amezidiwa na mfadhaiko. Suma akitumia kidole chake cha pili alimfunga mdomo na kumwambia “shhhhhh”. Sospeter alijikuta amekuwa na ububu wa ghafla. Kabla hajajua kilichoendelea, Suma allichuchumaa mbele yake, huku akizurusha nywele zake nyuma, kama mtumbuiza nyoka, alilichukua joka hilo, na kuliingiza mdomoni mwake. Kwa ufundi uliokubuhu, alianza kulipa burudani ya mwaka. Suma alifanya ufundi wake kwa joka hilo na kabla huyo chatu hajatema sumu yake alimchomoa mdomoni. Kichwa cha chatu huyo kilikuwa kimetuna, huku mrenda mrenda ukiwa unachuruzika. Suma alisogea kidogo na kuteremsha suruali na nguo ya ndani aliyekuwa amevaa hadi mguuni na kuchomoa mguu mmoja na kuuweka upande. Kwa mikono yake miwili aliinamia dawati, huku akishikilia kiti cha dawati hilo makalio yake akiwa ameyabong’oa. alinama kama anachuma mboga. Sospeter hakufanya ajizi, kama morani wa kimasai, alitupa mkuki wake wa raha, uliokita kunakotakiwa kwa ulaini kama kisu kikichomekwa kwenye siagi. Suma, nusura adondoke.

Mara kwa mbali walisikia sauti za mlio wa viatu zikielekea kwenye maeneo ya darasa walilokuwa wakifanya mapenzi.

“Harakisha” Suma alimwambia Sospeter ambaye kwa hakika hakuhitaji kuambiwa kwani aliangoza mwendo na haikumchukua muda alifika kunakofikwa, huku mwili wake na misuli ikigangamaa na mishipa ikimtoka usoni. Hawakuwa na muda wa kufarahia raha hiyo bali walipandisha suruali zao haraka haraka huku sauti za viatu zikiwa karibu kabisa. Kwa haraka wachuchumaa chini ya hilo dawati. Waliokuwa wanapita wakapita. Suma na Sospeter wakaagana na kukimbia kuwa basi lao.

“We Sosi ulikuwa wapi watu wanakutafuta, mchumbako yuko wapi?” Aliuliza mratibu wa Umiseta mkoa Mwl. Genda Gundi (alizoea kuitwa GG)

“Na mimi nilikuwa namtafuta yeye” Sospeter alijibu huku akiingia ndani ya basi ambapo kila mtu alikuwa anamshangaa alikuwa wapi muda wote huo wakati watu wanamtafuta. Alienda na kuketi mwisho mwa basi hilo na washirika wake.

Kwa mbali waliweza kumuona Suma akija huku amebeba mikoba yake. Alipofika kitu cha kwanza alimuuliza Mwalimu GG kama amemuona Sosi kwani alikuwa anamtafuta na hawezi kuondoka. Akaambiwa Sospeter ameshafika hapo na yuko ndani ya basi.

Penzi lao lilikua taratibu na miaka miwili baadaye walifunga pingu za maisha kabla tu ya kuanza masomo ya Chuo Kikuu. Waliishi pamoja Dar-es-Saalam wakati wote wa masomo hadi walipohitimu shahada zao za kwanza mwaka 1998. Wote waliajiriwa jijini hapo, Sospeter akifanya kazi katika idara ya Takwimu huku Suma akipata nafasi ya Ualimu katika shule ya sekondari ya Lugalo. Watu walionea wivu kwa jinsi walivyokuwa chanda na pete wakipendana kuliko kumbikumbi au njiwa. Waliheshimiana na kusaidiana katika kila hali. Ndio uchungu huu uliokuwa umekita kwenye moyo wa Suma akiwa bado amelala kitandani. Machozi yaliendelea kumbubujika.

“Suma, Suma, amka” Sauti ya upole ya kiume ilimshtua usingizini.
“Mume wangu Sosi” Suma aliendelea kulia huku akigalagala kitandani.
“Nini tena Suma, mbona unalia usingizini” Sauti hiyo iliendelea kuuliza huku mikono ya mtu huyo ikimtikisa, “umeota jinamizi mpenzi” Iliendelea sauti hiyo.

Suma hakuamini kusikia sauti hiyo, kwani haikuwa sauti ya mtu mwingine isipokuwa ya mume wake wa ndoa Sospeter Mkiru. Alifumbua macho yake taratibu kuangalia kama alikuwa bado anaota au ni kweli. Sospeter alikuwa ameketi kwenye ukingo wa kitandani huku akimuangalia mkewe kwa hofu na mahaba makubwa. Hajawahi kumuona akilia usingizini hata mara moja. Moyoni alijua ndoto yoyote aliyokuwa ameota hinti huyo ilikuwa ni mbaya kweli.

“Mpenzi, haya ni ndoto gani hiyo imekufanya ulie usingizini” alihoji huku kwa kutumia kidole gumba akimfuta machozi Suma.

“Jamani, hivi ni wewe kweli?” Suma aliinuka taratibu akaanza kuupapasa uso wa Sosi kuamini kama kweli ni yeye. Kwa mbali aliweza kusikia sauti za watoto zikicheza mchezo ya kombolela huku mlio wa magari ulisikika kwa mbali ukishindana na sauti za watoto hao. Alikuwa amelala na kanga moja tu kwani alijitupa kitandani baada ya kuoga akimsubiri mumewe atoke kazini.

“Ni mimi mpenzi” Sospeter alijibu kwa upole huku akimrushia busu. Alikumbuka mara ya kwanza kumbusu Suma miaka ile kule Karatu. Busu lake lilikuwa bado tamu na lenye mvuto usiochuja. Suma alimkumbatia mumewe na kumwomba Mungu amuepushe na mikosi yote, na maneno yote ya wamtakiao mabaya. Aliamua kumsimulia ndoto yake. Alipomaliza, alimuangalia mpenzi wake na kusubiri atasema nini.

Comments

Popular posts from this blog

Vifahamu Vitu Vidogo Vidogo Ambavyo Huzidisha Utamu wa Mahusiano Katika Mapenzi

UTAMU WA MCHEZO SEHEMU YA 2

Jinsi ya kumtoa msichana Bikra bila maumivu, wengi hawajui hili, Cheki hapa.