MAMA VANESSA SEHEMU YA 17
Aliiangalia ile simu kwa hasira sana na aliinyanyua ili aweze kuipokea. Kwa bahati mbaya nguvu ziilimwishia na kuhisi kabisa anaweza kupewa habari mbaya ambazo zitamchanganya kabisa siku hiyo. Lucas aliona kabisa hasira na kinyongo alichokuwa nacho juu ya Mishel. Kuna sms iliingia.
“Najua ukiona simu yangu unaumia sana lakini jua maisha ni mau kuna kipindi huwa yananyauka na kuna kipindi huwa yanachanua.Nimekukumbuka mume wangu.”
“Huyu mwanamke sijui ni jinni?” Lucas aliwaza.Alitupa simu pembeni na kushika kichwa. Aliwaza sana ni nini kinachomsibu huyo mwanamke. Alianza kurudisha kumbukumbu kipindi cha nyuma. Taswira ya picha za kumbukumbu za wakati uliopita juu ya mwanamke huyo zilimjia. Alikumbuka siku ya kwanza kabisa kukutana na mwanamke huyo. Ilikuwa ni zaidi ya miaka saba imepita. Kipindi hicho huyo binti alikuwa mdogo sana kwanza ndo alikuwa form three.
Mvua ilikuwa inaonyesha na yeye aliamua kujikinga na mvua hiyo kwa kuingia kwenye moja ya kibaraza cha duka. Ingawa alikuwa na mvua lakini hali ya hewa ilikuwa tete. Mvua iliyoambatana na radi ilikuwa ikipiga hivyo pamoja na mwamvuli aliokuwa nao bado alioofia usalama wake maana anageweza kujitafutia matataizo hasa ukizingatia kuwa mwamvuli aliokuwa amumbeeba ulikuwa na rangi yenkundu na wakati huo alikuwa amejijengea imani kuwa radi inafuata rangi nyekundu. Katika kibaraza hicho alichojibanza ili kusubiri makali ya mvua kulikuwa na watu wengi sana na jicho lake lilikwama kwa binti ambaye kwa wakati huo alishindwa kuelewa alikuwa ni mtoto au la. Binti alikuwa amekaa kwenye benchi na uzuri wa sura na umbo lake ndo ulimfanya jicho la lake kukataa kubanduka kabisa. Aliangalia miguu kama haitoshi akaangalia sehemu za kifuani na mara kadhaa macho yao yalikutana.
Ilikuwa ni kijijni kwao hivyo hakujua hata binti huyo alikuwa aitoka boma la nani. Kwanza yeye hakuwahi kuishi kijijini kwa muda mrefu zaidi alikuwa akija kusalimia babu na bibi kipindi cha sikukuu.
Mvua ilipungua na binti wa watu ambaye hakuwa hata na mwamvuli aliamua kujitosa hivyo hivyo ili aweze kuwahi nyumbani.
“Wewe Mishel mvua bado haijaisha vizuri angali isije ikakuletea shida” alisikika dada alaiyekuwa akiuza duka.
“Wacha niwahi mama atanigombeza huwa hapendi giza linikute nikiwa nje ya boma”Alijibu binti huyo kwa sauti laini sauti ambayo ilikuwa ikisisimua masikio ya Lucas. Kipindi hicho Lucas alikuwa ndo kwanza alikuwa yupo form six. Miguu yake ilishindwa kuumlia kuona msichana huyo aliyetokea kumvutia ghafla akiwa anatoweka ghafla kwenye upeo wa macho yake. Bila kutegemea alijikuta akinyanyua miguu na kujaribu kumfuatilia. “Mishel” aliita Lucas na kufanya binti huyo kugeuka kwa mshangaoa. Lucas hakuongea neno linguine zaidi ya kufunika na mwamvuli na kumfanya hasinyeshewe na mvua ambayo ilikuwa imechanganya ghafla.
“Umejuaje jina langu” Mishel alihoji huku kimoyo myo akishukuru kwa kupata msaada huo.
“Usijali mimi ni Lucas ni mjukuu wa mzee Manyama.
“Eee mbona mimi sijawahi kukuona kwani unaishii wapi”.
“Naishi mjini Mwanza na nasoma huko huko huku nakujaga tu likizo kumsaliamia bibi.”
“Ooooh sawa, asante kwa kunikinga na mvuaa”
Safari iliendelea mpaka wakawa wamefika kwa kina Mishel. Lucas kipibdi hicho ndo kwanza alikuwa ameenza kumiliki simu.
“Samahani Mishel utakuwa na simu?”
“Jamani mimi simu niipate wapi?
“Sasa huwa unawasialiana vipi na ndugu zako”
“Huwa natumia ya mama.
“Basi chukua namba zangu …….”Lucas alijikuta akitaja namba kwa mtu ambaye hana simu.
Mishel akamwamba asijlai akifika nyumbani atachukua simu ya mama yake na kumtafuta.
“Ebu nitajie kama kweli umezishika hizo namba.” Mishel alirudia kuzitaja namba hizo bila kukosea.
Lucas lalifurahi sana na kuona msichana huyo alikuwa na uwezo mkumbwa wa kukariri. Aliondoka zake na kurudi nyumbani. Alikaa kwa muda wa siku tatu bila kupokea simu kutoka kwa Mishel. Kila siku alikuwa akipita kwenye ile nyumba ili aweze kuangalia nini kilikuwa kikiendelea na kama anaweza kumuona binti huyo. Haikuwa hivyo hakuweza kabisa kumuona binti huyo. Ilikuwa ngumu sana kwake na roho ilimuuma maaana muda wa kufungua shule ulikuwa umefika. Hatimaye aalifungua shule na kuondoa zake. Roho yake ilimuuma sana kwa maana simu shuleni walikuwa wakikatazawa na hata wakituia kwa ujanja uajnja sana sana ni wikiend
Mwezi mzima ulipita kabla ya siku moja kupokea simu ngen kutoka kwa msichana. Sauti hiyo nyororo iliyosisimua masikioni mwake haikuw aya mtu mwingine bali ya Mishel. Mishel alaimweleza kuwa namba zake alikuwa bado anazikumbuka na hakumtafuta kwa sababu siku ile walivyoachana alaianza kuugua na alailaza. Huo ukawa mwanzo wa mawasiliano yao. Mpaka Mishel anamalaiza form four na Lucas anamalaiza form sx watu hawa walikuwa wapenzi wa kwenye simu. Baada ya Mmishel kumalaiza form four alaienda Dar kwa dada zake wengine ambao kipindi hicho walikuwa wameolewa. Na kama bahati vile na Lucas alienda huko huko. Wawili hawa sasa waliweza kukutana.
Lucas mawazo yakaamia siku ya kwanza kabisa kushiriki tendo la ndo na binti huyo. Anakumbuka aaimkuta binti huyo akiwa na bikira kabisa. Anakumbuka jinsi alivyopata tabu kukivunja kikombe cha udongo cha binti huyo. Anakumbuka jinsi alivyoangaika nae kufanikisha hilo. Tangu siku hiyo ukurasa wa mapenzi baina yao ulikuwa umefunguliwa. Mishel alikuwa akimpenda sana nay eye alikua akimpenda sana. Kuna vipindi vigumu walivyopitia na vyote walikuwa wakivikumbuka. Moja ya kipindi kigumu ni pale Mishel mataokeo yake yalivyotoka hayakuwa mazuri hivyo ilimlazimu kubaki Dar kwa dada yake wakati Lucas akaiendelea na chuo. Huko Dar Mishel alijifunza hizo kozi fupi ndani ya mwaka. Baaada ya hapo sasa aliajiriwa. Uzuri wake ukawa chachu ya kuwavutia wanaume wengi ikiwemo boss. Mishel alibadilika sana na hakumthamini tena Lucas. Mishel jiji lilimkubali sana alikuwa mrembo mara dufu. Hakuwa wa hadhi ya Lucas tena bali alikuwa akitoka na watu wenye fedha zao. Kipindi hicho Lucas alikuwa ameijiunga na masomo kwenye chuo kikuu cha Dar es salaam. Hapo safari ngumu na histori ya uhusiano wa watu hawa ndipo ilipokuwa ndefu. Lucas alikuwa akaimpenda sana bint huyo na hakuweza kabisa kukubaliana na matokeo kuwa aliachwa kwa kigezo kuwa hakuwa na fedha. Roho ilimuuma sana na hakuamini kuwa kama kweli binti huyo amebadilishwa na starehe za jiji. Tukio hili lilimfanya Lucas kumwaga machozi na aliona tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili.
*******ITAENDELEA
“Najua ukiona simu yangu unaumia sana lakini jua maisha ni mau kuna kipindi huwa yananyauka na kuna kipindi huwa yanachanua.Nimekukumbuka mume wangu.”
“Huyu mwanamke sijui ni jinni?” Lucas aliwaza.Alitupa simu pembeni na kushika kichwa. Aliwaza sana ni nini kinachomsibu huyo mwanamke. Alianza kurudisha kumbukumbu kipindi cha nyuma. Taswira ya picha za kumbukumbu za wakati uliopita juu ya mwanamke huyo zilimjia. Alikumbuka siku ya kwanza kabisa kukutana na mwanamke huyo. Ilikuwa ni zaidi ya miaka saba imepita. Kipindi hicho huyo binti alikuwa mdogo sana kwanza ndo alikuwa form three.
Mvua ilikuwa inaonyesha na yeye aliamua kujikinga na mvua hiyo kwa kuingia kwenye moja ya kibaraza cha duka. Ingawa alikuwa na mvua lakini hali ya hewa ilikuwa tete. Mvua iliyoambatana na radi ilikuwa ikipiga hivyo pamoja na mwamvuli aliokuwa nao bado alioofia usalama wake maana anageweza kujitafutia matataizo hasa ukizingatia kuwa mwamvuli aliokuwa amumbeeba ulikuwa na rangi yenkundu na wakati huo alikuwa amejijengea imani kuwa radi inafuata rangi nyekundu. Katika kibaraza hicho alichojibanza ili kusubiri makali ya mvua kulikuwa na watu wengi sana na jicho lake lilikwama kwa binti ambaye kwa wakati huo alishindwa kuelewa alikuwa ni mtoto au la. Binti alikuwa amekaa kwenye benchi na uzuri wa sura na umbo lake ndo ulimfanya jicho la lake kukataa kubanduka kabisa. Aliangalia miguu kama haitoshi akaangalia sehemu za kifuani na mara kadhaa macho yao yalikutana.
Ilikuwa ni kijijni kwao hivyo hakujua hata binti huyo alikuwa aitoka boma la nani. Kwanza yeye hakuwahi kuishi kijijini kwa muda mrefu zaidi alikuwa akija kusalimia babu na bibi kipindi cha sikukuu.
Mvua ilipungua na binti wa watu ambaye hakuwa hata na mwamvuli aliamua kujitosa hivyo hivyo ili aweze kuwahi nyumbani.
“Wewe Mishel mvua bado haijaisha vizuri angali isije ikakuletea shida” alisikika dada alaiyekuwa akiuza duka.
“Wacha niwahi mama atanigombeza huwa hapendi giza linikute nikiwa nje ya boma”Alijibu binti huyo kwa sauti laini sauti ambayo ilikuwa ikisisimua masikio ya Lucas. Kipindi hicho Lucas alikuwa ndo kwanza alikuwa yupo form six. Miguu yake ilishindwa kuumlia kuona msichana huyo aliyetokea kumvutia ghafla akiwa anatoweka ghafla kwenye upeo wa macho yake. Bila kutegemea alijikuta akinyanyua miguu na kujaribu kumfuatilia. “Mishel” aliita Lucas na kufanya binti huyo kugeuka kwa mshangaoa. Lucas hakuongea neno linguine zaidi ya kufunika na mwamvuli na kumfanya hasinyeshewe na mvua ambayo ilikuwa imechanganya ghafla.
“Umejuaje jina langu” Mishel alihoji huku kimoyo myo akishukuru kwa kupata msaada huo.
“Usijali mimi ni Lucas ni mjukuu wa mzee Manyama.
“Eee mbona mimi sijawahi kukuona kwani unaishii wapi”.
“Naishi mjini Mwanza na nasoma huko huko huku nakujaga tu likizo kumsaliamia bibi.”
“Ooooh sawa, asante kwa kunikinga na mvuaa”
Safari iliendelea mpaka wakawa wamefika kwa kina Mishel. Lucas kipibdi hicho ndo kwanza alikuwa ameenza kumiliki simu.
“Samahani Mishel utakuwa na simu?”
“Jamani mimi simu niipate wapi?
“Sasa huwa unawasialiana vipi na ndugu zako”
“Huwa natumia ya mama.
“Basi chukua namba zangu …….”Lucas alijikuta akitaja namba kwa mtu ambaye hana simu.
Mishel akamwamba asijlai akifika nyumbani atachukua simu ya mama yake na kumtafuta.
“Ebu nitajie kama kweli umezishika hizo namba.” Mishel alirudia kuzitaja namba hizo bila kukosea.
Lucas lalifurahi sana na kuona msichana huyo alikuwa na uwezo mkumbwa wa kukariri. Aliondoka zake na kurudi nyumbani. Alikaa kwa muda wa siku tatu bila kupokea simu kutoka kwa Mishel. Kila siku alikuwa akipita kwenye ile nyumba ili aweze kuangalia nini kilikuwa kikiendelea na kama anaweza kumuona binti huyo. Haikuwa hivyo hakuweza kabisa kumuona binti huyo. Ilikuwa ngumu sana kwake na roho ilimuuma maaana muda wa kufungua shule ulikuwa umefika. Hatimaye aalifungua shule na kuondoa zake. Roho yake ilimuuma sana kwa maana simu shuleni walikuwa wakikatazawa na hata wakituia kwa ujanja uajnja sana sana ni wikiend
Mwezi mzima ulipita kabla ya siku moja kupokea simu ngen kutoka kwa msichana. Sauti hiyo nyororo iliyosisimua masikioni mwake haikuw aya mtu mwingine bali ya Mishel. Mishel alaimweleza kuwa namba zake alikuwa bado anazikumbuka na hakumtafuta kwa sababu siku ile walivyoachana alaianza kuugua na alailaza. Huo ukawa mwanzo wa mawasiliano yao. Mpaka Mishel anamalaiza form four na Lucas anamalaiza form sx watu hawa walikuwa wapenzi wa kwenye simu. Baada ya Mmishel kumalaiza form four alaienda Dar kwa dada zake wengine ambao kipindi hicho walikuwa wameolewa. Na kama bahati vile na Lucas alienda huko huko. Wawili hawa sasa waliweza kukutana.
Lucas mawazo yakaamia siku ya kwanza kabisa kushiriki tendo la ndo na binti huyo. Anakumbuka aaimkuta binti huyo akiwa na bikira kabisa. Anakumbuka jinsi alivyopata tabu kukivunja kikombe cha udongo cha binti huyo. Anakumbuka jinsi alivyoangaika nae kufanikisha hilo. Tangu siku hiyo ukurasa wa mapenzi baina yao ulikuwa umefunguliwa. Mishel alikuwa akimpenda sana nay eye alikua akimpenda sana. Kuna vipindi vigumu walivyopitia na vyote walikuwa wakivikumbuka. Moja ya kipindi kigumu ni pale Mishel mataokeo yake yalivyotoka hayakuwa mazuri hivyo ilimlazimu kubaki Dar kwa dada yake wakati Lucas akaiendelea na chuo. Huko Dar Mishel alijifunza hizo kozi fupi ndani ya mwaka. Baaada ya hapo sasa aliajiriwa. Uzuri wake ukawa chachu ya kuwavutia wanaume wengi ikiwemo boss. Mishel alibadilika sana na hakumthamini tena Lucas. Mishel jiji lilimkubali sana alikuwa mrembo mara dufu. Hakuwa wa hadhi ya Lucas tena bali alikuwa akitoka na watu wenye fedha zao. Kipindi hicho Lucas alikuwa ameijiunga na masomo kwenye chuo kikuu cha Dar es salaam. Hapo safari ngumu na histori ya uhusiano wa watu hawa ndipo ilipokuwa ndefu. Lucas alikuwa akaimpenda sana bint huyo na hakuweza kabisa kukubaliana na matokeo kuwa aliachwa kwa kigezo kuwa hakuwa na fedha. Roho ilimuuma sana na hakuamini kuwa kama kweli binti huyo amebadilishwa na starehe za jiji. Tukio hili lilimfanya Lucas kumwaga machozi na aliona tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili.
*******ITAENDELEA
Comments
Post a Comment