Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amemtaka msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Amber Rutty ajisalimishe polisi mwenyewe baada ya picha zake za utupu kuvuja mtandaoni. RC Makonda RC Makonda amemtaka msanii huyo aripoti kwenye kituo chochote cha Polisi kilicho karibu naye kabla ya saa 12 jioni.
“Wakati TCRA wakijipanga kuchukua hatua, mimi namtaka mwenye picha hii kufika kituo chochote Cha Polisi kilichopo karibu na eneo lake kabla ya 12 jioni. Na ukifika waambie umeitwa na Rc Makonda watakupatia ujumbe wako.“amesema RC Makonda.
Siku ya jana kwenye mtandao wa Instagram kulisambaa video ya msanii huyo akiwa uchi wa mnyama akiwa amelala kitandani.
Tukio hilo la kuvuja video hizo za utupu za Amber Rutty, limekuja masaa machache baada ya Muigizaji Wema Sepetu naye video zake za utupu kuvuja mtandaoni.
MAPENZI ni matamu, mapenzi yana raha yake haswa ukimpata mtu anayekupenda kama ambavyo wewe unampenda. Kinyume chake, mapenzi hugeuka kuwa shubiri. Yanaumiza lakini suala la msingi, hupaswi kukata tamaa pindi unapokutana na penzi kuwa chungu. Chukulia ni changamoto, usikubali kuishi kwenye majonzi kwa muda mrefu. Amini akili yako ina majibu juu ya changamoto inayokukumba na pia unaweza kuiepuka. Unapoamini kwamba changamoto inaweza kupita, utaifanya akili yako iwaze kupata majibu ya haraka iwe ni kusaka suluhuhisho kwa kuzungumza na mwenzi wako na unapoona maji yamezidi unga basi ni bora ukajiweka pembeni hususani mnapokuwa katika hatua za awali. Nimeanza kuyasema hayo maana katika uhusiano wowote, kikubwa kinachotafutwa na wapendanao huwa ni furaha ya moyo. Wapendanao wanapaswa kuishi kwa furaha, amani na upendo. Uhusiano wao uwe sehemu ya kudumisha urafiki, udugu na kwa pamoja muweze kuishi vizuri. Wapendanao wanatengeneza umoja wao ambao ni wa kutiana moyo pale mambo yanapokuwa si m...
Nilisimama mlangoni nikawa nasikia mama akiongea hapohapo hisia zilinipeleka mbali. SONGA NAYO. "mdogo wangu rose umetembea nae, mama neema, wafanyakazi wa ndani wote waliokuja hapa umewapitia kwakweli bac clement sikubali kama unataka huyo mfanyakazi hawepo basi mimi naondoka" Kulalama kule kwa mama kulinifungua akili nakumbuka mama mdgo rose ameanza kukaa nyumbani tangu mdogo na amesomeshwa hapahapa lakini cha ajabu hataki hata kukanyaga nyumbani tangu haondoke kumbe inawezekana waligombana na mama. Na ki2 kingne kinanishangaza ni mama hapendi niwe karibu sana na baba nikapata jibu kumbe anaogopa nisitembee nae, nilijikuta namshangaa baba kwa jinsi alivyokuwa malaya kumbe rafiki za mama na ndgu zake wengi kisha wapitia na hili hali mama yangu ni mzuri mama wa watu na sijaona hata kasoro kwake kama kupenda baba anapendwa nilijikuta najisemea moyoni "mmh ngoja nikalale mimi mtoto sipaswi kuingilia mambo ya wakubwa" Nilipofika kitandani nililitafakari lile suala kwa ...
Habari zenu wapendwa,last night nilikuwa nago through my emails,nikakuta kuna email kutoka kwa 1 of my female fans,aliituma kama wiki moja iliyopita,aliniambia kuwa yeye bado ni bikira lakini kuna mtu ametokea kumpenda na anataka kupeana nae Raha na Utamu kwa mara ya kwanza katika Maisha yake,kwa hiyo akaniuliza maswali mawili,swali la kwanza alikuwa anataka kujua jinsi ya kumridhisha boyfriend wake,alikuwa anataka kujua mambo muhimu kwa sababu hana experience. aliuliza Jinsi ya kupeana Raha na Utamu bila Maumivu kwa kuwa yeye bado bikira,so jibu lake ndio hii Post yenyewe. Ingawa asilimia kubwa ya wanawake au wasichana,hupata maumivu pale wanapokuwa wanatolewa bikira zao,wapo ambao hawapati maumivu kabisa na pia wapo ambao hupata maumivu kidogo sana kulingana na hizo bikira wanatolewa na Mwanaume gani na huyo Mwanaume anajali(care) kiasi gani. Yapo Mambo ambayo ukifanya,kuna uwezekano mkubwa sana wa kutopata Maumivu wakati unatolewa bikira,na hata kama ukipata Maumivu basi yanakuwa ki...
Comments
Post a Comment