Natafuta Mwanaume Ambaye Atakuwa Baba Kwa Watoto Wangu-Zari


Mfanyabiashara maarufu Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ na mzazi mwenzake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefunguka na kuweka wazi tangu ameachana na Diamond amekuwa akitafuta mwanaume ambaye atakuwa kama baba kwa Watoto Wake.

Baada ya mahusiano ya takribani miaka minne Zari alimtosa Baba Watoto Wake Diamond mapema mwaka huu katika siku ya wapendanao tena kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Sasa Zari ameweka wazi kuwa tangu aachane na Diamond  ameshakuwa na mahusiano na wanaume kadhaa lakini hivi sasa anataka mwanaume ambaye atakuwa mfano bora wa baba kwa  watoto wake wa kiume na mwanaume ambaye binti yake wa kipekee atatamani kuwa mfano wa mwanaume wa kuolewa naye.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zari ameandika maneno haya:



Comments

  1. My name Maurino Mwaria Age 38 PLEASE MAY I JOINING TO YOUR FAMILY US FATHER WHO WOULD TAKE CARE AND SPIRITUAL TO YOU AND WHOLE FAMILY

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

Vifahamu Vitu Vidogo Vidogo Ambavyo Huzidisha Utamu wa Mahusiano Katika Mapenzi

UTAMU WA MCHEZO SEHEMU YA 2

Jinsi ya kumtoa msichana Bikra bila maumivu, wengi hawajui hili, Cheki hapa.