MAMA VANESSA SEHEMU YA NNE

ILIPOISHIA
Mara Juliana na yeye alichukua nyama na kumlisha jambo lililozidi kumsisimua na kujikuta akitamani hata kumrukia muda huo. Viungo vingine vya mwili navyo vilishasimama kwa hisia za mahaba
ENDELEA
Waliendelea na sasa Kimaro alikuwa akitumia jina lake na uwezo wake wa kushawishi kumtaka mpenzi wake Julieth aweze kumkubali Lucas na ikibidi ampe faraja usiku huo. Kwa hiyo kulikuwa na mawasilaino na watu walikuwa wakichati hapo. Julieth alikuwa akichati na Juliana na kumshawishi atumie uwezo wake wa kike kuwa na Lucas maana ni mwanaume mwenye mafanikio na hueda akawa mpenzi mzuri. Juliana hili swala kwake lilikuwa gumu kwa sababu tayari alikuwa na mpenzi mpya mara baada ya mchumba wake wa muda mrefu kuzinguana. Huyu mpenzi mpya alikuwa hafahamiki na mtu yeyote na ndio maana pacha wake alikuwa akimpigia chapuo ili kuona kama anaweza kuwa naye. Juliana hakuwa mjanja kama Julieth hivyo aliweza kumshawishi ingawa Juliana alikuwa akisingizia kuwa siku hiyo hakuwa poa labda siku ingine.
Muda ulizidi kwenda na baadaye Kimaro aliamua kutumia nguvu kwa maana alilipa vitu vyote walivyokuwa wanadaiwa kisha waliiingia kwenye gari na safari ya kueleka pasipojulikana ilianza. Kimaro alipakia gari kwenye moja ya lodge ambayo ilikuwa inamilikiwa na baba yake. Julieth na yeye alishangaa maana hakujua kama ilikuwa ni ya kwao.Walishuka na kuwa tayari alishaongea na wahudumu wa hapo kuwa anakuja na wageni tayari alishawekewa.Alipewa funguo za room zilizofuatana. Wakati Julieth na Julaina waliabaki wameduwaaa tu wasijue nini kilikuwa kinaendelea. Julieth alikuwa akijiuliza maswali mengi kwa nini siku hiyo huyo mwanaume hakutaka kumpeleka kwake kama alivyozoea na kwa nini ameamua kuingia gharama hizo. Mwanzo alidhani kuwa walikuja hapo kuwaleta Julaina na Lucas lakini aligundua sivyo mara baaada ya kuona Kimaro akikabidhiwa funguo mbili. Kimaro yeye baada ya kupewa zile funguo alimkabidhi moja Lucas na kumwambia kazi kwako. Alimshika Julieth mkono na kuwaaga kwa kuwambia usiku mwema. Hao kwa mwendo wa madaha waliingia kwenye chumba chao.
Juliana na Lucas walibaki wamesimama na kuduwaha tu wasijue nini cha kufanya kwa wakati huo.Waliangaliana na kila mmoja alionesha kuwa alikuwa akimwogopa mwenzake. Waliogopana kwa sabbau mwaznoni hawakuwa na makubaliano ya aina yoyote kuwa watalala pamoja. Lucas baada ya kuona mrembo yupo njia panda na hana njia ingine ya kuondoka hapo alimkabidhi funguo. Juliana alisita kuzipokea na kubaki amesimama akimshangaa tu. Lucas sasa iliamua kutumia njia za kiume mara baada ya kugundua kuwa msichana huyo hawezi kuondoka. Alimnyanyua juu juu na kwenda naye moja kwa moja mpaka kwenye chumba ambacho walitakiwa kuingia. Hata Juliana alishangaaa mwanaume huyo amepata wapi nguvu za kumbeba juuju. Alivyofika alifungua mlango kisha kuingia naye ndani.Alimbwaga kitandani huku akihema kwa nguvu utadhani punda aliyeutua mzigo mzito. Kweli wanaume wanakuwa na nguvu linapokuja swala la mapenzi. Unaweza kukuta mwanaume ana kilo pungufu na mwanamke lakini akambeba bila matatizo yoyote.
Juliana alijilaza hapo kitandani huku akilaala na tumbo na kuacha kijungu mbinuo kikiwa juu. Kinguo kifupi alichokuwa amevaa kilipanda kwa juu na kufanya weupe wa majapa yake yaliyojazia kama godoro la Dodoma kuonekana. Lucas alipiga magoti kisha kwa utaratibu alimvua viatu na kuvishusha chini. Juliana alijigeuza na kupandisha miguuu juu ya kitanda kabisa.
“Ninaomba uzime taa tulale”alisema mrembo huyo huku akipikichapikicha macho ishara kuwa alikuwa akikerwa na mwanaga wa taaa.
Lucas kabla hajazima taa alimshauri kitu. “Unaonaje kama ungeoga ili kupunguza uchovu wa kukaa muda mrefu sehemu moja na joto la mwili ili uweze kulala usingizi murua.
“Wazo zuri lakini naona uvivu mwenzio ebu tulale kwanza alafu joto likizidi nitaoga”. Juliana aliongea kisha kuvuta shuka na kujifunika. Lucas aliona ipo haja ya yeye kwenda kuoga.Aliingia bafuni huku taswira ya umbo zuri la Juliana likimtawala kichwani. Mawazo ya ngono yalikuwa yametawala akili yake kwa kiwango kikumbwa sana. Alimaliza kuoga na kurudi zake chumbani. Alifikiria cha kufanya kwa sababu ndo kwanza mwanamke huyo alikuwa amejifunua shuka kuashiria kuwa taryari joto lilimzidia. Kitendo hicho sasa kilifanya utamu wa binti huyo kuonekana. Lucas uzalendo ulizidi kumshinda na kukuta viungo vyake vya siri vikimsisimka. Mkuki ulisimama wima tayari kwa mapambano. Alipanda kitandani na kulala. Dakika mbili hazikuisha alimsikia yule binti akinyanyuka na kuingia maliwatoni. Kabla hajaingi aliwasha taa na kumfanya Lucas kuangalia kwa jicho la wizi binti huyo alitaka kufanya nini. Kwa macho yake alimuona binti huyo akichojoa nguo zake kisha kuingia bafuni.
Aiseee aliumizwa kihisia maana sasa alitamani hata kumrukia binti huyo. Lakini alijikaza na kuvumilia. Alijifanya kapitiwa na usingizi na nia yake ni kuona mtu huyo atafanya nini baada ya kutoka huko chooni. Juliana naye usingizi ulikuwa hauji na ni muda mrefu sana alikuwa hajafanya mapenzi. Yaani na yeye kuna kitu kilikuwa kikimtekenya na kumtamanisha afanye mambo. Kwa kipindi chote alichokuwa amejilaza hapo kitandani alikuwa akitafakari je ampe tunda au amnyime. Uamuzi alioufikia ni kwamba atampa kama kijna huyo akihitaji. Kwa maneneo mengine ni kusema kwamba Juliana na yeye hamu ilimshika. Alioga na kumaliza lakini alikuwa akitafuta mbinu ya kurudi.Alijiuliza je arudi akiwa uchi au akiwa amevaa nguo za ndani. Sifa alizopewa na pacha wake juu ya mwanaume huyo zilimabadili mawazo na kujikuta akiwa tayari kwa lolote. Lakini yeye ni mwanamke alikuwa makini sana hasije kushusha thamani yake na kuonekana Malaya.
Kule maliwatoni alikaa sana kwa makusudi amuone atafanyaje.Ukimya huo ulimtatiza Lucas na kumlazimu kuchukua hatua. Ilimbidi aende karibu ya mlango wa chooni na kuita “Julieth mbona umekaa sana unaumwa na tumbo nini? Halikuwa jina la binti aliyekuwepo chooni lakini ni kwamba aliwachanganya majina pale alipokuwa wanajitambulisha. Kwa sauti ya mlegezo Julina alimwambia “njoo njoo huku” . Alimwita huku akiwa ameshikilia mguu wake kwa madai kuwa eti aliteleza huko bafuni na kudondoka.
Hapo ndipo kichaa alipokabidhiwa rungu. Lucas aliingia maliwatoni na kumwinua Juliana kisha kumbeba juujuu na kumpeleka kitandani. Juliana hakufanya makosa alimng’ang’ania kwa nguvu sana na kila mtu mapigo ya moyo yaliongezeka. Lucas na yeye alimbana kwa nguvu kwenye kifua chake. Kumbatio hilo liliamsha hisia zao na kila mmoja alijihisi tofauti. Lucas akaanza papara zake za kutaka kuvua hata ile nguo ya ndani ya mlimbwende huyo.Jambo hilo la papara na haraka zisizokuuwa na sababu wakati binti anatka mwenyewe zilimkera Julaina na alimmsukuma kwa nguvu na kumtoa kwenye mwili wake.Kama hiyo haitoshi alimuuliza
“unataka kunibaka?”.
Lucas Akacheka na kusema “ kwa kweli upo vizuri sana uvumilivu umenishinda”.
“Sasa wewe si ni mme wa mtu”
“Ndio” Lucas alijibu na kumsogelea tena.
Akili yake ilishachafukwa hakutaka majibizano tena bali vitendo.Bingilibingili walianza kubingilizana hapo kitandani.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUCHEZEA MATAKO YA MWANAMKE NA KUMPA RAHA YA AJABU KWA KUYABINYA KATIKA MIELEKEO MAALAM SOMA HAPA

UTAMU WA MCHEZO SEHEMU YA 2

MAMA VANESSA SEHEMU YA 16.