Dalili Za Mchumba Au Mpenzi Mwenye Mapenzi Ya Kweli

– Anakuheshimu na anakufanyia mambo yote kwa heshima

– Muda wote uko kichwani kwake/anakuwaza wewe.

– Anakusikiliza na anafanya unachokisema

– Anaweza kukushika bila kuogopa watu. mfano, mkono mkiwa sehemu zenye watu wengi

– Anakujali.

– Anataka uipende na ushirikiane na familia na ndugu zake –

– Anaweza kuomba msamaha

– Akiwa anaongea badala ya kusema nita…. anasema tuta…. mfano, tutafanya hivi badala ya nitafanya hivi

– Anakuweka kwenye mipango yake ya baadae

–  Anasema ‘SASA’. (Mfano SASA tufanyeje?) Anatumia neno sasa kukupa nafasi ya kutoa mawazo yako

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUCHEZEA MATAKO YA MWANAMKE NA KUMPA RAHA YA AJABU KWA KUYABINYA KATIKA MIELEKEO MAALAM SOMA HAPA

UTAMU WA MCHEZO SEHEMU YA 2

MAMA VANESSA SEHEMU YA 16.